Wednesday, October 10, 2007

Chuo Kikuu leo


Mazingira ya Chuo kikuu leo hapa ni maeneo ya pale utawala wadau mnasemaje.

3 comments:

Egidio Ndabagoye said...

Mazingira yanapendeza sana.Huwa mara nyingi nilipokuwa nafika kilimani hapo najihisi kama sipo Dasalama kwa kile kibariiidi kizuri.

sizinga said...

napapenda kweli hapo pahala

Chemi Che-Mponda said...

Panapendeza sana. Nakumbuka zamani kulikuwa na nyoka na ngedere kibao hapo. Hiyo bonde ilikuwa na Chatu pia.

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...