Wednesday, October 10, 2007

Chuo Kikuu leo


Mazingira ya Chuo kikuu leo hapa ni maeneo ya pale utawala wadau mnasemaje.

3 comments:

Egidio Ndabagoye said...

Mazingira yanapendeza sana.Huwa mara nyingi nilipokuwa nafika kilimani hapo najihisi kama sipo Dasalama kwa kile kibariiidi kizuri.

sizinga said...

napapenda kweli hapo pahala

Chemi Che-Mponda said...

Panapendeza sana. Nakumbuka zamani kulikuwa na nyoka na ngedere kibao hapo. Hiyo bonde ilikuwa na Chatu pia.

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...