Thursday, October 11, 2007

Maamuzi Mazito CCM


Leo mchana kamati kuu ya halmashauri kuu imetoa maamuzi mazito manne, mojawapo likiwa ni kuwatosa wale wabunge watuhumiwa wa Arusha na kisha kuanza mchakato mpya wa kuwasaka wasafi, wamezungumza mengi stay tuned.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...