Thursday, October 11, 2007

Maamuzi Mazito CCM


Leo mchana kamati kuu ya halmashauri kuu imetoa maamuzi mazito manne, mojawapo likiwa ni kuwatosa wale wabunge watuhumiwa wa Arusha na kisha kuanza mchakato mpya wa kuwasaka wasafi, wamezungumza mengi stay tuned.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...