Thursday, October 11, 2007

Maamuzi Mazito CCM


Leo mchana kamati kuu ya halmashauri kuu imetoa maamuzi mazito manne, mojawapo likiwa ni kuwatosa wale wabunge watuhumiwa wa Arusha na kisha kuanza mchakato mpya wa kuwasaka wasafi, wamezungumza mengi stay tuned.

No comments:

NGORONGORO YATOA ELIMU YA UHIFADHI SHIRIKISHI NA KUHAMASISHA UTALII MASHULENI

  Na Mwandishi Wetu, Karatu Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendelea na programu ya kutoa elimu ya uhifadhi shirikishi na kuhamasiha utal...