Sunday, June 19, 2016

WAZIRI WA MICHEZO NAPE NNAUYE ASHIRIKI SIKU YA KIMATAIFA YA YOGA


 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimia na Balozi wa India nchini Mhe. Sandip Arya mara
baada ya kuwasili katika viwanja vya Coco kushiriki Siku ya kimataifa ya Yoga leo June 19, 2016.
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na Balozi Peter Kallaghe kutoka Wizara ya Mambo
ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika viwanja vya Coco kwenye hafla ya 
 kuadhimisha  Siku ya kimataifa ya Yoga leo June 19, 2016.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda akizungumza katika Siku ya Kimataifa ya Yoga iliyofanyika katika viwanja vya Coco
leo June 19, 2016 kushoto ni Balozi wa India nchini Mhe. Sandip Arya .
 Balozi wa India nchini Mhe. Sandip Arya akizungumza katika Siku ya Kimataifa ya Yoga iliyofanyika katika viwanja vya Coco leo June
19, 2016 kushoto ni Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda.
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza katika Siku ya Kimataifa ya Yoga
iliyofanyika katika viwanja vya Coco kushiriki Siku ya kimataifa ya Yoga leo June 19, 2016 katikati ni Balozi wa
 nchini
Mhe. Sandip Aryan na kulia ni Mkuu wa Mkoa 
 wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda.
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akifanya mazoezi mbalimbali katika kuadhimisha Siku ya kimataifa ya Yoga iliyofanyika Leo June 19, 2016 Jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda akifanya mazoezi katika kuadhimisha Siku ya kimataifa ya Yoga iliyofanyika Leo
June 19, 2016 Jijini Dar es salaam kulia ni Balozi Peter Kallaghe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

No comments: