Wednesday, June 08, 2016

AIRTEL NA VETA WAANZISHA MAFUNZO YA STADI ZA UFUNDI KUPITIA APPLICATION YA SIMU - VSOMO

 Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu ya Ufundi (VETA), Geoffrey Sabuni wakifanya ishara ya uzinduzi wa mafunzo ya stadi za ufundi kupitia mtandao wa simu ya mkononi yajulikanayo kama “VSOMO” yaani VETA SOMO, katika hafla iliyofanyika kwenye Chuo cha Veta cha Kipawa jijini Dar es Salaam jana.  Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa DTBi, Mhandisi George Mulamula na (kulia) ni Mkurugenzi wa VETA, Kanda ya Dar es Salaam, Habib Bukko. 
 Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu ya Ufundi (VETA), Geoffrey Sabuni wakifanya ishara ya uzinduzi wa mafunzo ya stadi za ufundi kupitia mtandao wa simu ya mkononi yajulikanayo kama “VSOMO” yaani VETA SOMO, katika hafla iliyofanyika kwenye Chuo cha Veta cha Kipawa jijini Dar es Salaam jana. 
 Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso akizungumza katika uzinduzi wa mafunzo ya stadi za ufundi kupitia mtandao wa simu ya mkononi yajulikanayo kama “VSOMO” yaani VETA SOMO, katika hafla iliyofanyika kwenye Chuo cha Veta cha Kipawa jijini Dar es Salaam jana. Kutoka (kulia) ni Mkuu wa Chuo cha VETA – Kipawa, Mhandisi Lucius Luteganya, Mkurugenzi wa VETA, Kanda ya Dar es Salaam, Habib Bukko, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu ya Ufundi (VETA), Geoffrey Sabuni na Mkurugenzi Mkuu wa DTBi, Mhandisi George Mulamula.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu ya Ufundi (VETA), Geoffrey Sabuni  akizungumza katika uzinduzi wa mafunzo ya stadi za ufundi kupitia mtandao wa simu ya mkononi yajulikanayo kama “VSOMO” yaani VETA SOMO, katika hafla iliyofanyika kwenye Chuo cha Veta cha Kipawa jijini Dar es Salaam jana
  Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu ya Ufundi (VETA), Geoffrey Sabuni  wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya utambulisho wa program mpya ya VSOMO.

No comments: