Monday, June 27, 2016

BENKI YA CRDB YAFADHILI UJENZI WA KITUO CHA MAWASILIANO CHA JESHI LA POLISI

 Rais John Magufuli akizindua rasmi Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi Dar es Salaam.
 Rais Magufuli akipata maelezo ya namna kituo hicho kinavyofanyakazi.
  Rais Magufuli akipata maelezo ya namna kituo hicho kinavyofanyakazi.Jiwe la Msingi la Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi lililowekwa na Rais Dk. John Magufuli. Kituo hicho kimefadhiliwa na Benki ya CRDB kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni 300. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto) akiteta jambo na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Esther Kitoka.
Brass Band ya Polisi ikitumbuiza katika hafla ya uzinduzi wa Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi.

No comments: