Monday, June 27, 2016

SOBER HOUSE YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KUPIGA VITA MATUMIZI MABAYA YA DAWA ZA KULEVYA.

 Mkuu Wa Kituo  cha Life and Hope Bagamoyo Sober House, Al-Kareem Bhanji aki akizungumza na wananchi (hawapo pichani) waliofika kwenye siku ya Kimataifa ya Kupiga Vita Matumizi Mabaya ya Dawa za Kulevya, jana Mkoa wa Pwani kushoto ni Mkuu Wa Wilaya ya Bagamoyo,Alhaj Majid Hemed Mwanga.
 Mkuu Wa Wilaya ya Bagamoyo, Alhaj Majid Hemed Mwanga akizungumza na wananchi (hawapo pichani) katika siku ya Kimataifa ya Kupiga Vita Matumizi Mabaya ya Dawa za Kulevya, jana Mkoa wa Pwani kulia ni Mkuu wa Kituo  cha Life and Hope Bagamoyo Sober House,Al-Kareem Bhanji.
 Wananchi wakifatilia mada mbalimbali  kwenye siku ya Kimataifa ya Kupiga Vita Matumizi Mabaya ya Dawa za Kulevya, jana Mkoa wa Pwani.
 Waathirika wa Dawa za Kulevya akiandamana siku ya Kupiga Vita Matumizi Mabaya ya Dawa za Kulevya, jana Mkoa wa Pwani.

No comments:

RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...