Tuesday, June 21, 2016

WAZIRI MWAKYEMBE ALIPOZUNGUMZA NA VYOMBO VYA HABARI LEO MJINI DODOMA.


Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na Waandishi wa Habari leo Mjini Dodoma kuhusu maadili ya Vyombo vya Habari katika kuhabarisha Umma juu ya miradi ya maendeleo na jinsi vinavyoweza kuwasaidia wananchi kuleta maendeleo na kuepuka kutoa taarifa za upotoshaji.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano wa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe na Vyombo vya Habari leo Mjini Dodoma. (Picha Zote na Frank Mvungi – MAELEZO – Dodoma).

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...