Friday, June 24, 2016

KAYA 100 ZA BAGAMOYO ZANUFAIKA NA KAPU LA VODACOM TANZANIA FOUNDATION

 Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania, wakibeba vyakula wakati  wa hafla ya kutoa msaada wa vyakula  katika viwanja vya Ikulu mjini Bagamoyo jana. Wafanyakazi  wa Vodacom Tanzania kupitia  taasisi ya jamii ya Vodacom  Tanzania Foundation, walijumuika  na Waislamu wa Bagamoyo na vitongoji vyake, kwa kuwapa msaada wa vyakula  mbalimbali kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
PICHA NA MPIGAPICHA WETU
 Meneja wa Ruzuku na  Mawasiliano wa  Vodacom  Tanzania Foundation, Sandra Oswald (wa pili kushoto) akigawa vyakula kwa wanawake waislamu,  wakati  wa hafla ya kutoa msaada wa vyakula  katika viwanja vya Ikulu mjini Bagamoyo jana. Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania kupitia  taasisi ya jamii ya Vodacom  Tanzania Foundation,walijumuika  na Waislamu wa Bagamoyo na vitongoji vyake, kwa kuwapa msaada wa vyakula  mbalimbali kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Wakazi wa Bagamoyo, Mohamed Ammer Maki (kulia) akifurahia msaada wa vyakula, wakati  wa hafla ya kutoa msaada wa vyakula  katika viwanja vya Ikulu mjini Bagamoyo jana. Wafanyakazi  wa Vodacom  Tanzania kupitia  taasisi ya jamii ya Vodacom  Tanzania Foundation, walijumuika  na Waislamu wa Bagamoyo na vitongoji vyake, kwa kuwapa msaada wa vyakula  mbalimbali kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. 

No comments: