Monday, June 20, 2016

WABUNGE WAJADILI MAREKEBISHO YA SHERIA MPYA YA UNUNUZI WA UMMA, DODOMA

lik2 
Kamishna wa Sera ya Ununuzi wa Umma, kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, DKT. Fredrick Mwakibinga, akiwasilisha mada kwa waheshimiwa wabunge, kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura 410, iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa, Mjini Dodoma, jana.(Picha zote na WFM)
lik3 
Naibu waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji (Kushoto) na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe, wakifuatilia kwa makini mada kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura 410, iliyotolewa kwa waheshimiwa wabunge katika ukumbi wa Pius Msekwa, jana Bungeni Mjini Dodoma
lik4 
Baadhi wa Waheshimiwa wabunge wakifuatilia kwa makini mada iliyowasilishwa kwao kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura 410, iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa, Bungeni Mjini Dodoma Jana.
lik5 
Baadhi wa Waheshimiwa wabunge wakifuatilia kwa makini mada iliyowasilishwa kwao kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura 410, iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa, Bungeni Mjini Dodoma Jana.
lik6 
Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyaji (Prof. Maji Marefu) akichangia jambo wakati wa mjadala  kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura 410, wakati wa semina iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa, Bungeni Mjini Dodoma Jana
lik7 
Mbunge wa Nkasi, Ali Kessy, akichangia jambo wakati wa mjadala  kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura 410, wakati wa semina iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa, Bungeni, Mjini Dodoma, Jana.
lik8Mwenyekiti wa Semina ya Wabunge kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma,Sura 410, Mhe. Hawa Ghasia akiongoza mjadala kuhusu Marekebisho ya Sheria hiyo, katika Ukumbi wa Pius Msekwa, Bungeni, mjini Dodoma, jana.
lik9 
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchg. Peter Msigwa, akichangia jambo wakati wa mjadala  kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura 410, wakati wa semina iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa, Bungeni, Mjini Dodoma, Jana.
lik10 
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Harrison Mwakyembe, akifafanua jambo wakati wa semina ya waheshimiwa wabunge kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura 410, iliyofanyika katika Ukumbi wa Pius Msekwa, Bungeni mjini Dodoma jana. Kusoto kwake ni Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji na Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Semina hiyo, Mhe. Hawa Ghasia.
lik11 
Kamishna wa Sera ya Ununuzi wa Umma, kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Fredrick Mwakibinga, akiwasilisha mada kwa waheshimiwa wabunge, kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura 410, iliyofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa, Mjini Dodoma, jana.

No comments: