Mama wa Marehemu Amandus akimwaga udongo kaburi mwa mwanaye Amandus.
Baba wa Marehemu Amandus akielekea kaburini kumimina udongo kama ishara ya kumzika mwanaye.
Kiongozi wa dini akiendesha misa ya wafu katika shughuli hiyo iliyofanyika Kilosa mjini kwenye mtaa wa Behewa.
Wafanyakazi wenzake wakitoa salamu za mwisho kwa mwili wa marehemu Amandus mtaa wa Behewa, Kilosa Mororgoro leo.
Veronica Mtemi akitoa salamu za mwisho kwa mwili wa Marehemu Amandus
Waombolezaji wakifuatilia misa ya wafu msibani hapo leo mchana.
Kiongozi wa dini akiendesha misa ya wafu katika shughuli hiyo iliyofanyika Kilosa mjini kwenye mtaa wa Behewa.
Waombolezaji
Waombolezaji wakifuatilia misa ya wafu msibani hapo leo mchana.
No comments:
Post a Comment