Thursday, August 06, 2015

MASHIRIKA MATANO YA KITAIFA NA KIMATAIFA(FOS) YAUNGANA KWA PAMOJA KUTOA ELIMU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015

Wasemaji kutoka Mashirika Matano Kutoka kushoto ni Msemaji kutoka LHRC,OXFAM, Restless Development, BBC na VSO
  Mkurugenzi Mkuu Mkazi wa Oxfam Jane Foster ambao pia ndio waandaaji wa Mkutano huu na waandashi wa Habari akieleza kwa kina nia ya Mkutano huo ambao lengo kuu ni kuzungumzia maswala ya Uchaguzi kuwa kila mtu anahaki ya kupiga kura.
  Hellen Kijo Bisimba ambaye ni Mkurugenzi mtendaji wa kituo cha sheria na haki  za binadamu (LHRC) (Kushoto) akiongea jinsi walivyo endesha zoezi zima la kusimamia uandikishaji wa Daftari la uandikishaji wa wapigakura la kudumu BVR na ushiriki wao kwa ujumla.
Meneja wa Programu kitengo cha Governance kutoka Oxfam Bi.  Betty Malaki  akiendelea kutoa utaratibu katika Mkutano huo.
 Mwakilishi kutoka Shirika la Restless Development Bi. Rahma Bajun ambao jukumu lao limelenga sana kwa vijana , akitoa taarifa ya Jinsi walivyo washirikisha vijana katika kuwahimiza na kuwapa elimu ya uchaguzi na kupiga kura ambapo wanafanya kazi hasa katika mikoa ambayo ipo Pembezoni ambayo ipo 11 .

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA PANGANI, AZINDUA MIRADI YA MAENDELEO MKOANI TANGA

PANGANI, TANGA – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 26, 2025, amezungumza na wananc...