Timu ya Shirika la Nyumba la Taifa ikiwa katika maandalizi ya ufunguzi wa Nyumba za Shirika hilo za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambao unafanyika baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
Mojawapo ya nyumba za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambayo itazinduliwa baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
Mojawapo ya nyumba za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambayo itazinduliwa baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
Eneo la kukaa wageni waalikwa
Ndani ya nyumba ya mfano itakayozinduliwa baadaye.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI
Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...



No comments:
Post a Comment