Timu ya Shirika la Nyumba la Taifa ikiwa katika maandalizi ya ufunguzi wa Nyumba za Shirika hilo za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambao unafanyika baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
Mojawapo ya nyumba za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambayo itazinduliwa baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
Mojawapo ya nyumba za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambayo itazinduliwa baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
Eneo la kukaa wageni waalikwa
Ndani ya nyumba ya mfano itakayozinduliwa baadaye.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha CCM chaguo la wagombea bunge
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao cha Kamat...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment