Friday, August 07, 2015

Maandalizi ya ufunguzi wa Nyumba za Gharama Nafuu NHC Mtanda, Lindi

 Timu ya Shirika la Nyumba la Taifa ikiwa katika maandalizi ya ufunguzi wa Nyumba za Shirika hilo za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambao unafanyika baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
Mojawapo ya nyumba za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambayo itazinduliwa baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
 Mojawapo ya nyumba za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambayo itazinduliwa baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
 Eneo la kukaa wageni waalikwa
Ndani ya nyumba ya mfano itakayozinduliwa baadaye.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...