Friday, August 07, 2015

Maandalizi ya ufunguzi wa Nyumba za Gharama Nafuu NHC Mtanda, Lindi

 Timu ya Shirika la Nyumba la Taifa ikiwa katika maandalizi ya ufunguzi wa Nyumba za Shirika hilo za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambao unafanyika baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
Mojawapo ya nyumba za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambayo itazinduliwa baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
 Mojawapo ya nyumba za gharama nafuu za Mtanda Mkoani Lindi ambayo itazinduliwa baadaye leo hii na Rais Jakaya Mrisho Kikwete anayetarajiwa kuwasili muda wowote kuanzia sasa.
 Eneo la kukaa wageni waalikwa
Ndani ya nyumba ya mfano itakayozinduliwa baadaye.

No comments:

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...