Sunday, August 02, 2015

BAADA YA KUKATWA KURA ZA MAONI CCM DKT. MAKONGORO MAHANGA ATIMKIA CHADEMA

Makongoro MahangaMh. Dkt. Makongoro Mahanga akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Segerea Mwisho leo.
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira na Mbunge wa Segerea anayemaliza muda wake, Mh. Dkt. Makongoro Mahanga, ametangaza rasmi kuihama CCM kutokana na kutokuwepo demokrasia ya lweli ndani ya CCM.
Amesema anafanya mazungumzo na Edward Lowassa pamoja na CHADEMA ili aweze kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...