Monday, May 25, 2015

MJUMBE WA HALMASHAURI KUU CHADEMA ,JAFARY MICHAEL AFUNGUA MATAWI MAPYA MOSHI


Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chadema na meya
wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa uzinduzi wa
tawi katika kata ya Longuo mjini Moshi.




Ofisi mpya ya Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) kata ya Longuo B .

Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chadema taifa
na meya wa manispaa ya Moshi,Jafary Michael akikata utepe kufungua
ofisi mpya ya kata ya Longuo B.
Meya Michael akitia saini katika kitabu cha
wageni mara baada ya kufungua ofisi ya kata ya
Chadema.
Katibu wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro Basil
Lema akitia saini katika kitabu cha wageni wakati wa ufunguzi wa ofisi
ya kata ya Longuo B.

Diwani wa kata ya Longuo B,Ray Mboya akitia
saini katika kitabu hicho.

Baadhi ya makada wa Chadema manispaa ya
Moshi wakishuhudia zoezi hilo.
Ofisi mpya ya Chadema kata ya, Longuo
manispaa ya Moshi ikafunguliwa rasmi.
Na Dixon

Busagaga wa globu ya Jamii kanda ya Kasakazini.

No comments: