Thursday, May 28, 2015

ZIARA YA VIONGOZI WA CHADEMA KANDA YA ZIWA

tun1
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lisu akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Halmashauri, mjini Bariadi, mkoani Simiyu hivi karibuni alipokuwa mkoani humo kwa ajili yakuzindua mpango maalum uitwao ‘Changia Chadema Kanda ya Serengeti ili Kushinda Uchaguzi 2015′ unaolenga kukusanya fedha kampeni za wagombea wa ubunge na udiwani mikoa ya Simiyu, Shinyanga na Mara.
tun2
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lisu akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Halmashauri, mjini Bariadi, mkoani Simiyu
tun3
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar Salum Mwalim akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika hivi karibuni mjini Magu, mkoani Mwanza, ikiwa ni sehemu ya mfululizo wa mikutano ya chama kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kujiandaa kupiga kura uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.
tun4
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar Salum Mwalim akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika hivi karibuni mjini Magu, mkoani Mwanza

No comments: