Saturday, May 30, 2015

CCM WASHINDA NAFASI YA UENYEKITI MJI MDOGO WA HIMO.


Msimamizi wa Uchaguzi na mkurugenzi wa
halmashauri ya wilaya ya Moshi,Fulgence Mponji akizungumza wakati wa
kutangaza matokeo katika uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa mji mdogo
wa Himo.


Baadhi ya wajumbe waliohudhuria katika
uchaguzi huo kutoka vyama mbalimbali vya siasa.
Mwenyekiti wa mji mdogo wa Himo Hussein
Jamal akizungumzamara baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo
katika uchaguzi huo uliofanyika katika shule ya walemavu wa usikivu
eneo la njia Panda.
Baadhi ya viongozi waliofika kushuhudia
Uchaguzi huo.
Mkurugenzi wa wilaya ya Moshi,Fulgence
Mponji akitoa ufafanuzi katika uchaguzi huo.
Baadhi ya madiwani walioshiriki uchaguzi
huo.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya
Moshi,Moris Makoi akisalimia mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi
huo.
Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga
akizungumza wakati wa kufunga kikao cha uchaguzi huo.
Dc Makunga akipeana mkono na Mwenyekiti wa
Halmashauri ya wilaya ya Moshi,Moris Makoi mara baada ya kuzungumza
katika uchaguzi huo.
Na Dixon Busagaga wa Glob ya jamii

No comments: