Sunday, May 24, 2015

JK AKIONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA (NEC) MJINI DODOMA


Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kwenye ukumbi wa NEC ,Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.
………………………………………………..
Angalia picha za mkutano wa halmashauri kuu ya ccm mei 23 mjini dodoma.

No comments:

NIRC YAFUNGUA SURA MPYA YA KILIMO: MIRADI 30, PAMPU 2,000 NA AJIRA 4,000

  Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inatarajia kuanza utekelezaji wa miradi mipya zaidi ya 30 ...