Sunday, May 24, 2015

JK AKIONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA (NEC) MJINI DODOMA


Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kwenye ukumbi wa NEC ,Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.
………………………………………………..
Angalia picha za mkutano wa halmashauri kuu ya ccm mei 23 mjini dodoma.

No comments:

TRC KUONGEZA SAFARI ZA SGR DAR ES SALAAM–DODOMA 🚆🇹🇿

  Habari njema kwa wasafiri! Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza safari za treni ya SGR kati ya Dar es Salaam na Dodoma kua...