Thursday, May 28, 2015

TANZANIA YATILIANA SAINI NA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA ( AFDB ) MJINI ABIDJAN- IVORY COAST.

1
Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Servicus B.Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. AlyAbou- Sabaa wakisaini mkataba wa Tsh 137.5 Billion kwaajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwa serikali ya Tanzania.Sherehe hiyo ilifanyika hapa Mjini  Abidjan- Ivory coast.
2
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw.AlyAbou – Sabaa na Gavana wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile wakipongezana mara baada ya kusaini mkataba wa Tshs 137.5 Billoni wa kusaidia kwenye sekta ya umeme na nishati nchini Tanzania.
3
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. AlyAbou-Sabaa na Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaa mbaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile pamoja na wajumbe waliohudhuria katika hafla ya kutia saini mkataba wa kiasi cha Tsh. 137.5 Billion kwaajili ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo hasa umeme nchini Tanzania.

No comments:

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2026 hadi 2030 (Ag...