Tuesday, May 26, 2015

WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA YAZINDULIWA RASMI

wi1
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga aliyesimama akiongea na washiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Ukombozi wa Bara la Afrika yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana
wi2
Naibu Waziri Wizara ya Dkt. Mahadh Juma Maalim (Mb) akifungua Maadhimisho ya Wiki ya Ukombozi wa Bara la Afrika iliyoanza jana jijini Dar es Salaam.wa kwanza kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga na katikati ni Balozi kutoka Umoja wa Ulaya Mh. Filiberto Sebrigondi.
wi3
Mwakilishi Mkazi wa UNESCO nchini Tanzania Bi. Zulmira Rodrigues akiongea na washiriki waliohudhuria katika Maadhimisho ya Wiki wa Ukombozi wa Bara la Afrika hawapo pichani iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.
wi4
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (Mb) Dkt. Mahadh Juma Maalim akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi waliohudhuria katika Hafla ya Maadhimisho ya Wiki ya Ukombozi wa Bara la Afrika yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
wi5
Mhadhiri wa Sheria na wanaharakati wa haki za binadamu, Prof. Issa Shivji akiongea na washiriki waliohudhuria katika Maadhimisho ya Wiki wa Ukombozi wa Bara la Afrika hawapo pichani iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.
Picha na Daud Manongi

No comments: