Monday, May 25, 2015

MCHAKATO WA KUMPATA RAIS CCM

  • Ratiba ya mchakato wa uteuzi wa waogombea wa CCM yatajwa
  • Masharti yatajwa kwa wagombea
  • Mwigulu Nchemba ajiuzulu nafasi yake ya Unaibu Katibu Mkuu CCM (Bara)
 Makao Makuu ya CCM mkoani Dodoma yanavyoonekana kwenye picha wakati wa vikao vikubwa vya Chama.
Sare za CCM zinauzwa kwa wingi nje ya uzio wa Makao Makuu ya CCM .

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akizungumza na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Oganaizesheni Dk.Mohamed Seif Khatib(katikati) wakati kikao cha NEC kikiendelea.
Mwigulu Mchemba akiagana na baadhi ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mara baada ya kutangaza kujiuzulu nafasi yake ya Naibu Katibu Mkuu CCM (Bara) .

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...