Monday, May 25, 2015

DK.ALI MOHAMED SHEIN AKITIA UDONGO KATIKA KABURI LA DADA YAKE MAREHEMU FATMA SHEIN WAKATI WA MAZIKO

sh1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitia udongo katika kaburi la Dada yake Marehemu Fatma   Shein aliyefarika  jana  na kuzikwa katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo,[Picha na Ikulu.]
sh2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa nne kulia) akijumuika na Viongozi mbali mbali katika mzishi ya Dada yake Marehemu Fatma   Shein aliyefarika  jana na kuzikwa leo katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]

No comments:

MRADI WA TACTIC KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI JIJINI MWANZA

  * Sekta ya uvuvi nayo yaguswa. Mwanza.  Ujenzi wa Barabara ya Buhongwa-Igoma yenye urefu wa Km 14 kwa kiwango cha lami inayojengwa katik...