Friday, February 27, 2015

ZIARA YA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA WILAYANI KYELA

ky1Waziri Mkuu,Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa wilaya ya Kyela baada ya kufungua ukumbi wa  Halmashauri hiyo wakiwa katika ziara ya wilaya  hiyo Februari 26, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)ky14Wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, MizengoPinda wakati aliozungumza baada ya kufungua mashine ya kukoboa nakuchambua mpunga mjini Kyela Februari 26, 2015. (PIcha na Ofisi  yaWaziri Mkuu)
ky11Daraja la Mwaya  wilaya ni Kyela ambalozo lilizinduliwa na Waziri Mkuu, mizengo Pinda.
ky7Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kushoto) wakitazama  eneo itakapojengwa chelezo na bandari ya  Itungi  wilayani Kyela wakiwa katika ziara ya wilaya hiyo, Februari 26, 2015. (Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)ky6Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na watalaamu wa kampuni ya kichina ya CHICCO kabla ya kufungua daraja  la Mwaya lililojengwa na kampuni  hiyo wilayani Kyela Februari 26, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)ky4Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Mama Mlemavu, Lesia Kambungwe baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara mjini Kyela akiwa katika ziata ya wilaya hiyo Februari 26, 2015<(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)ky3Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari  26, 2015. Wapili kulia ni mkewe Tunu na wapili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Kyela anayeoondoka, Margareth Malanga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)ky5Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa chelezo ya kuundia meli kwenye bandari ya Itungi,  Kyela akiwa katika ziara ya siku moja wilayani humo  Februari 26, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)ky8Mwendesha baiskeli akipita katika daraja la zamani la Mwaya wilayani Kyela huku wakitazama daraja jipya  (kulia) lilozinduliwa na Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda Februari 26, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)ky12Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Zamani wa Mbeya Mzee  John Mwakipesile baada ya kuwasili kwenye  makazi ya  Mkuu wa Wilaya ya Kyela kwa ziara ya siku moja wilayani humo Februari 26, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)ky15Wanafunzi wakimpungia mkono Waziri Mkuu Mizengo Pinda hayupo pichaniky16Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana  na  Katibu wa CAHDEMA wa kata ya Mwaya, Ageni Pamesa  kabla ya kufungau maabra ya  shule ya sekondari ya  Mwaya akiwa katika ziara ya Mkoa wa  Mbeya Februari 26, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)ky17Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda  na mkewe Tunu (wapili kulia) akitazama mafunzo kwa vitendo wakati alipokagua maabara ya Kemia katika shule ya seondari ya Mwaya wilayani Kyela Februari 26, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: