Tuesday, February 10, 2015

SERIKALI YAIPONGEZA BENKI YA ACCESS KUFUNGUA TAWI LAKE JIJINI MBEYA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Abbas Kandoro akizungumza na wateja pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Access wakati alipokuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa tawi la benki hiyo jijini Mbeya mwishoni wa wiki iliyopita. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Mhe. Dk. Norman Sigallah King na kutoka kushoto ni Ofisa Masoko Mwandamizi wa Access Bank, Jonas Muganyizi Bisheko, Meneja wa Mkoa wa Benki ya Access Mbeya, Emmanuel Venance na Mwakilishi wa Benki ya Access kutoka Makao makuu jijini Dar es salaam, Sebastian Gaissert. (PICHA ZOTE NA CATHBERT ANGELO KAJUNA WA KAJUNASON BLOG-MBEYA).
Mwakilishi wa Benki ya Access kutoka Makao makuu jijini Dar es salaam, Sebastian Gaissert, akitoa hotuba yake katika sherehe za uzinduzi wa tawi la benki hiyo mkoani Mbeya.
Meneja wa Mkoa wa Benki ya Access Mbeya, Emmanuel Venance akizungumza machache wakati wa sherehe za uzinduzi wa tawi la benki hiyo mkoani Mbeya. Habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

No comments:

RAIS SAMIA AZINDUA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , amezindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika ukumbi w...