Thursday, February 19, 2015

WADAU WA CHANJO YA KUZUIA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI (HPV) WAKUTANA KILIMANJARO

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akizungumza wakati wa kufungua Mkutano wa Wadau wa Chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi (HPV) katika ukumbi wa Uhuru Hostel mjini Moshi.
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakifuatilia kwa karibu hotuba ya mkuu wa mkoa Gama.
Mwakilishi wa katibu mkuu wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt Neema Rusibamayila akitoa hotuba yake wakati wa mkutano huo wa siku tatu unaofanyika mjini Moshi.
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakiwemo Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wakifuatilia hotuba ya mwakilishi wa katibu mkuu wizara ya Afya,Dkt Rusibamayila.
Mwakilishi mkazi wa Shirika la Afya  Duniani (WHO) Dkt Rusaro Chatora akitoa hotuba yake wakati wa mkutano wa wadau  wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa Kizazi (HPV).

No comments: