Tuesday, February 17, 2015

KAMPUNI YA TIGO YATOA MSAADA HOSPITALI YA TENGERU MKOANI ARUSHA

ti2Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini Bw. David Charles (mwenye miwani kichwani) akiongoza wafanyakazi wenzake wa Kampuni ya Tigo kutoa msaada kwa wagonjwa wa Hospitali ya Tengeru kwenye siku ya Wapendanao mwishoni mwa wiki Mkoani Arusha.

No comments:

DKT. KIJAJI AIPA TANO BODI YA TAWA.

Na, Sixmund Begashe, Arusha Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), imepongezwa kwa ubunifu wake katika...