Monday, February 23, 2015

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MKURANGA WAPEWA MSAADA WA VIFAA VYA KUPIMIA MACHO

Afisa Mkazi wa taasisi isiyo ya Kiserikali ya  Brien Holden Vision Institute Eden Mahayo (Pwani.kushoto)akimkabidhi msaada wa sanduku la vifaa vya kupimia macho Kaimu Mkurugenzi wa  manispaa ya Mkuranga  Mbenjamin Majoya  kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi 122 za  Mkuranga  ambapo wanafunzi hao watapata huduma ya kupima na kutibiwa macho bure.hafa hiyo ilifanyika hivi wilayani 002mkuranga mkoa wa Pwani.
Matroni wa haospitali ya wiraya ya Mkuranga Mkuranga Rosemary Magombola  akisoma moja ya maneno kwenye kibao maarumucha kupimia macho mara baada ya kukabidhiwa msaada huona taasisi isiyo ya kiserikali ya  Brien Holden Vision Institute Eden  kwa ajili ya wanafunzi wa shuleza msingi 122  .Kulia ni  Mratibu wa taifa  wa huduma za macho Dkt.Nkundwa Mwakyusa (kushoto) Mratibu wa mradi huo kwa watoto wa shule za msingi toka taasisis ya ya  Brien Holden Vision Institute Eden ,Rebecca Kasika.
Afisa maendeleo ya jamii ya mji wa kibaha mkoa wa pwani akikabidhiwa na Mashine ya kupimia macho na   Afisa Mkazi wa taasisi isiyo ya Kiserikali ya  Brien Holden Vision Institute Eden Mahayo (kushoto)   wakati wa hafla ya kukabidhi wa msaada wa  vifaa vya macho vyenye thamani ya shilingi milioni 11.4  kwa ajili ya kuwahudumia wanafunzi  wa Wilaya hiyo ya Kibaha ambao watanufaika na  huduma hiyo ya  upimaji  macho pamoja na  matibabu bure
Wafanyakazi wa hospitali ya Kibaha kitengo cha macho wakiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa ya  Brien Holden Vision Institute Eden,mara baada ya kukabidhiwa msaada wa vifaa vya macho vyenye thamani ya shilingi milioni 11.4.

No comments: