Monday, February 23, 2015

AIRTEL KUENDELEA KUSAIDIA WALEMAVU HAPA NCHINI KWA KUWAONGEZEA VITENDEA KAZI

Afisa masoko wa Airtel Haruna Ndyanabo (wa pili Kulia) akimkabidhi Rukia Salum (wapili Kushoto) mmoja kati ya walemavu waliowezeshwa na Airtel kwa kupatiwa vibanda vya kisasa vya Airtel Money ili kuweza kijipatia kipato na kuendeleza Maisha yao ya kila siku. Wakishuhudia ni baadhi ya walemavu wengine waliowezeshwa na Airtel katika mtaji huo.
Afisa masoko wa Airtel Haruna Ndyanabo (kushoto) akimkabidhi Peter Gwikama mmoja kati ya walemavu waliowezeshwa na Airtel kwa kupatiwa vibanda vya kisasa vya Airtel Money ili kuweza kijipatia kipato.
Afisa masoko wa Airtel Haruna Ndyanabo (Kulia) akimkabidhi Josephine John mmoja kati ya walemavu waliowezeshwa na Airtel kwa kupatiwa vibanda vya kisasa vya Airtel Money ili kuweza kijipatia kipato.

3 comments:

nasmison said...

find more find out here find more information see here now visit here you could look here

mcnene said...

look at these guys replica designer backpacks over here Dolabuy Fendi Click This Link Hermes Dolabuy

Unknown said...

p4q88i1t18 j1e37g9c38 h8v19v7i65 t5e02f3c36 c2d92b9d85 m8x15b4v29