Tuesday, February 10, 2015

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE AFUNGUA MKUTANO WA KUJADILI NISHATI ENDELEVU NCHINI KWA WOTE

SIM1Waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene akifungua mkutano kwa ajili ya kujadili nishati endelevu nchini kwa wote ( Tanzania Sustainable Energy for All) ulioshirikisha sekta binfasi, wataamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na wadau wa nishati nchini. Mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya   Protea jijini Dar es Salaam lengo lake lilikuwa ni kubadilishana uzoefu kwa ajili ya kuboresha sekta ya umeme nchini.
SIM2Meneja   Hifadhi kutoka Shirika la WWF Nchini Dk. Amani Ngusaru akitoa hotuba ya kumkaribisha Waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene (hayupo pichani)
SIM3Sehemu ya wadau wa mkutano kwa ajili ya kujadili nishati endelevu nchini kwa wote ( Tanzania Sustainable Energy for All) ulioshirikisha sekta binfasi, wataamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na wadau wa nishati nchini wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa inatolewa na Waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene ( hayupo pichani

No comments:

SERIKALI YATOA ZAIDI YA BILIONI 5.7 KUIMARISHA MIUNDOMBINU YA ELIMU MKOANI KIGOMA

KIGOMA: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP), imetoa zaidi ya Shilin...