VIJANA WILAYANI KASULU WAPEWA SOMO KUHUSU FURSA ZA MFUKO WA MAENDELEO YA VIJANA
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mhe. Dani Makanga (watatu kutoka kulia kabla ya mabadiliko) akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo walipomtembelea ofisini kwake leo. Kutoka kulia ni Afisa Utamaduni na Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Bw. Mbogo, Afisa Vijana kutoka Wizara ya
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Esther Riwa akitoa mada kuhusu Sera ya Maendeleo ya Vijana na Stadi za Maisha kwa baadhi ya Vijana wa Halmashauri za Kasulu na Buhigwe leo katika Ukumbi wa Kituo cha Utamaduni Wilayani Kasulu.
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Esther Riwa akitoa mada kuhusu Sera ya Maendeleo ya Vijana na Stadi za Maisha kwa baadhi ya Vijana wa Halmashauri za Kasulu na Buhigwe leo katika Ukumbi wa Kituo cha Utamaduni Wilayani Kasulu.
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Bw. Bernard Ntikabuze akizungumza na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo walipofika ofisini kwake ili kujitambulisha kabla ya kuendelea na ratiba ya mafunzo na ukaguzi wa miradi Wilayani hapo leo.
No comments:
Post a Comment