
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii nchini, Devota Mdachi (kushoto) na Mwenyekiti wa Kampuni ya Nakheel PSSC ya Dubai, Bw, Ali Lootan wakizungumza katika Mkutano wa Kuitangaza Tanzania na kuvutia wawekezaji wa Dubai uliofunguliwa na Waziri Mkuu mjini Dubai Desemba 17, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:
Post a Comment