Friday, December 05, 2014

WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI KITAALUMA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA (MOCU) WAKABIDHIWA ZAWADI


Baadhi ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma wakimsilikiliza Kaimu wa Makamu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (hayupo pichani)Pro,Faustine Bee wakati akizungumza katika sherehe hiyo.
Baadhi ya wakuu wa vitivo na wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MOCU)wakifuatilia hotuba ya Kaimu Makamu mkuu wa Chuo.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama aliyekuwa mgeni rasmi wakati wa utoaji wa zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi(MOCU) akitoa hotuba yake .
Baadhi ya wanafunzi waliohudhuria sherehe hiyo.
 Wajumbe wa kamati ya zawadi ,Shadrack Madila (shoto) na Cyril Komba wakiweka mambo sawa kwa ajili ya utolewaji wa zawadi.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akifurahia jambo na Kaimu wa Makamu mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Prof,Faustine Bee.
Baadhi ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma wakikabidhiwa zawadi zao na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro  Leinidas Gama katika sherehe iliyofanyika katika ukumbi wa J.K.Nyerere katika Chuo Kikuu cha Ushirika (MOCU)
Baadhi ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma kwa upande wa Michezo ,Soka,Netbal na Volleyball  wakikabidhiwa zawadi zao na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro  Leinidas Gama katika sherehe iliyofanyika katika ukumbi wa J.K.Nyerere katika Chuo Kikuu cha Ushirika (MOCU)
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya kaskazini,

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...