Sunday, December 07, 2014

Idris kashinda BBA 2014 na kujinyakulia kitita cha dola 300,000 za Marekani

Mshiriki kutoka Tanzania anayewakilisha ndani ya mjengo wa Big Brother ‘hotshots’ , Idris Sultan.
Mshiriki kutoka Tanzania aliyekuwa akituakilisha  ndani ya mjengo wa Big Brother ‘hotshots’ , Idris Sultan amekaibuka kidedea katika shindano hilo usiku .
Tangu asubuhi Runinga ya DStv kupitia Channel 197 na 198 inayoonyesha moja washiriki 8 waliobakia katika mjengo huo, huku kamera ikimmulika zaidi Idris mara kwa mara jambo linaloashiria huenda Watanzania tulikuwa tumeshashinda.
Fainali za Big Brother ‘hotshots’ zilianza saa 3:00 Usiku huku Idris akiwaongoza wenzake saba ambao ni Tayo (Nigeria), JJ (Zimbabwe), Nhlanha (Afrika Kusini), Sipe (Malawi), Butterfly (Zimbabwe), Ma mbea (Ghana) pamoja na Macky2 wa Zambia.
Idris amerudisha heshima Tanzania kwa kunyakuwa kitita cha dola 300,000 (Sawa na

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...