Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mwanafunzi bora katika kozi ya maafisa wa jeshi, (Best Overall Officer Cadet Trainee) luteni Usu Engelbert Edwin Kessy muda mfupi baada ya Rais Kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya 171 wa Jeshi katika Chuo Cha jeshi Monduli(Tanzania Military Academy) jana Mkoani Arusha.
No comments:
Post a Comment