Monday, December 22, 2014

RAIS KIKWETE ATETA NA MWANAFUNZI BORA KOZI YA MAAFISA WA JESHI MONDULI

unnamed2Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Adolf Mwamunyange wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa nyumba za maafisa wa jeshi huko Monduli mkoani Arusha jana(picha na Freddy Maro)

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...