Monday, December 22, 2014

PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO QATAR

unnamedWaziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na watanzania waishio nchini Qatar baada ya kuzungumza nao kwenye hoteli ya Sheraton iliyopo Doha, Desemba 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)unnamed2Baadhi ya washiriki wa Mkutano kati ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Watanzania waishio nchini Qatar  wakimsiliza  Waziri Mkuu wakati alipozungumza nao kwenye hoteli ya Sheraton iliyopo Doha Desemba 21,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)unnamed3unnamed4Baadhi ya washiriki wa Mkutano kati ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Watanzania waishio nchini Qatar  wakimsiliza  Waziri Mkuu wakati alipozungumza nao kwenye hoteli ya Sheraton iliyopo Doha Desemba 21,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)unnamed1Mwenyekiti wa Umoja wa Watanzania waishio nchini Qatar, Mzee Said akisoma risala  katika mkutano kati ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na watanzania waishio Qatar uliofanyika kwenye hoteli ya Sheraton iliyopo Doha Desemba 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)unnamed6Baadhi ya Mawaziri na viongozi mbalimbali wa serikali walioongozana na Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda.unnamed7Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na watanzania waishio nchini Qatar baada ya kuzungumza nao kwenye hoteli ya Sheraton iliyopo Doha, Desemba 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)unnamed8Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakizungumza na Mwinyi Kazimoto ambaye ni Mtanzania anayecheza soka la kulipwa katika timu ya  Al Markhiaya nchini Qatar, katika mkutano kati yake na watanzania waishio nchini humo  uliofanyika kwenye  hoteli ya Sheraton mjini Doha Desemba 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
unnamed9Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kushoto kwake) akizungumza na baadhi ya washiriki wa   mkutano kati yake na watanzania waishio nchini Qatar uliofanyika kwenye hoteli ya Sheraton iliyopo Doha, Desemba 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)unnamed10Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na watanzania waishio nchini Qatar baada ya kuzungumza nao kwenye hoteli ya Sheraton iliyopo Doha, Desemba 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: