Tuesday, December 30, 2014

SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA PHIRI NA MATOLA

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri.
Waliokuwa makocha wa Simba Patrick Phiri na Kocha msaidizi, Selemani Matola (kushoto) wakifuatilia mazoezi


Klabu ya Simba imewafukuza kazi Kocha Patrick Phiri raia wa Zambia na msaidizi wake Selemani Matola kutokana na matokeo mabaya ya timu. SOURCE: GLOBAL PUBLISHERS

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...