Tuesday, December 30, 2014

SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA PHIRI NA MATOLA

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri.
Waliokuwa makocha wa Simba Patrick Phiri na Kocha msaidizi, Selemani Matola (kushoto) wakifuatilia mazoezi


Klabu ya Simba imewafukuza kazi Kocha Patrick Phiri raia wa Zambia na msaidizi wake Selemani Matola kutokana na matokeo mabaya ya timu. SOURCE: GLOBAL PUBLISHERS

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...