Tuesday, December 30, 2014

SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA PHIRI NA MATOLA

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri.
Waliokuwa makocha wa Simba Patrick Phiri na Kocha msaidizi, Selemani Matola (kushoto) wakifuatilia mazoezi


Klabu ya Simba imewafukuza kazi Kocha Patrick Phiri raia wa Zambia na msaidizi wake Selemani Matola kutokana na matokeo mabaya ya timu. SOURCE: GLOBAL PUBLISHERS

No comments:

UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA

📌 *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS*  📌 *Awamu ya  pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.*   *📌A...