Tuesday, December 30, 2014

SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA PHIRI NA MATOLA

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri.
Waliokuwa makocha wa Simba Patrick Phiri na Kocha msaidizi, Selemani Matola (kushoto) wakifuatilia mazoezi


Klabu ya Simba imewafukuza kazi Kocha Patrick Phiri raia wa Zambia na msaidizi wake Selemani Matola kutokana na matokeo mabaya ya timu. SOURCE: GLOBAL PUBLISHERS

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...