Thursday, December 18, 2014

BALOZI KAMALA AKARIBISHWA JIJINI WETTEREN UBELIGIJI


Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akilisikiliza maelezo kuhusu zawadi aliyokabidhiwa kama ishara ya kumkaribisha jijini Wetteren Ubeligiji. Anayetoa maelezo ni Mhe. Live De Gelder Mkuu wa Idara ya Ustawi wa Jamii jijini Wetteren. Balozi Kamala leo atatembelea viwanda mbalimbali jijini Wetteren na atakutana na Wafanyabiashara kueleza fursa za biashara na uwekezaji Tanzania.

No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...