Monday, March 31, 2014

UZINDUZI MAALUMU WA SHINDANO LA SCHOOLAR INVESTMENT CHALLENGE 2014 (UDBS)


Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Alexander Mwinamila (kushoto) akizungumza na viongozi wa Shule Kuu ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), mara baada ya uzinduzi wa Shindano la linalohusu uelimishaji wa umuhimu wa kuweka akiba kwa uwekezaji kwa wanavyuo walio katika taasisi za elimu ya juu nchini. Kutoka (kulia) ni  Mkuu wa Idara ya Uhasibu Dkt. Henry Chalu,  Ofisa Mtendaji Mkuu, Moremi Marwa na Mkuu wa Shule Kuu ya Biashara, Dkt. Wineaster Anderson.
   Mgeni Rasmi Alexander  Mwinamila akizungumza na Ofisa Mtendaji Mkuu, Moremi Marwa  (kushoto) mara baada ya kuzindua mpango huo Chuo Kikuu Ukumbi wa Nyerere Theatre II, Dar es Salaam
                                                       Hotoba ya mgeni rasmi
                         Baadhi ya wanafunzi waliohudhulia uzinduzi huo wakisikiliza hutoba ya mgeni rasmi
    Wanafunzi na wageni mbalimbali wakisikiliza kwa makini hutoba na maelezo kuhusu mpango huo.

No comments: