Thursday, March 20, 2014

Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kulihutubia Bunge Maalum la Katiba Siku ya ijumaa Machi 21 Mwaka 2014 Saa Kumi Jioni Mjini Dodoma

Rais Jakaya Kikwete
 Katibu wa Bunge Maalum la Katiba-Yahya Khamis Hamad
--
Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kulihutubia Bunge Maalum la Katiba Machi 21, mwaka huu mjini Dodoma.

Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu wa bunge hilo, Yahya Khamis Hamad wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa waandishi wa habari wa ofisi za Bunge mjini Dodoma.

No comments:

Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika Umwagiliaji kukabili Mabadiliko ya Tabianchi

Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan, amesema katika kufikia azma ya mapinduzi sekta ya kilimo Serikali imechukua hatua ya kufanya uwekezaji mkubwa...