Thursday, March 20, 2014

Matukio Mbalimbali Kutoka Bunge Maalum la Katiba Mjini Dodoma

 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale- Mwiru (kulia) na Augustine  Lyatonga Mrema wakiteta, bungeni jini Dodoma Machi 19, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Machi 19, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...