Thursday, March 20, 2014

Matukio Mbalimbali Kutoka Bunge Maalum la Katiba Mjini Dodoma

 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale- Mwiru (kulia) na Augustine  Lyatonga Mrema wakiteta, bungeni jini Dodoma Machi 19, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Machi 19, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...