Thursday, March 20, 2014

Matukio Mbalimbali Kutoka Bunge Maalum la Katiba Mjini Dodoma

 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale- Mwiru (kulia) na Augustine  Lyatonga Mrema wakiteta, bungeni jini Dodoma Machi 19, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Machi 19, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...