Monday, March 03, 2014

Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), imetoa tamko ikitaka Bunge Maalumu la Katiba kuepuka kukashifu mapendekezo ya muundo wa Serikali tatu.

Mwenyekiti wa Tume Askofu Mkuu, Paulo Ruzoka.
----
Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), imetoa tamko ikitaka Bunge Maalumu la Katiba kuepuka kukashifu mapendekezo ya muundo wa Serikali tatu.

TEC imesema muundo wa Serikali mbili haukutatua matatizo ya msingi na badala yake ulilimbikiza kero zilizosababisha Zanzibar kujiundia Katiba yake mwaka 2010 bila kushauriana na Tanzania Bara.
Tamko hilo limesainiwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Askofu Mkuu, Paulo Ruzoka. Tume hiyo imesema pendekezo la Serikali tatu litawarudisha Watanzania hali ya kuwa na umoja.Kwa habari zaidi Bofya na Endelea......

No comments:

Dkt. Samia Suluhu Hassan Achukua Fomu za Kugombea Urais kwa Awamu ya Pili

Dodoma, 09 Agosti 2025 — Hatua mpya katika safari ya kisiasa ya Tanzania imechukuliwa leo jijini Dodoma baada ya Mgombea wa Nafasi ya Rais w...