Monday, March 03, 2014

Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), imetoa tamko ikitaka Bunge Maalumu la Katiba kuepuka kukashifu mapendekezo ya muundo wa Serikali tatu.

Mwenyekiti wa Tume Askofu Mkuu, Paulo Ruzoka.
----
Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), imetoa tamko ikitaka Bunge Maalumu la Katiba kuepuka kukashifu mapendekezo ya muundo wa Serikali tatu.

TEC imesema muundo wa Serikali mbili haukutatua matatizo ya msingi na badala yake ulilimbikiza kero zilizosababisha Zanzibar kujiundia Katiba yake mwaka 2010 bila kushauriana na Tanzania Bara.
Tamko hilo limesainiwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Askofu Mkuu, Paulo Ruzoka. Tume hiyo imesema pendekezo la Serikali tatu litawarudisha Watanzania hali ya kuwa na umoja.Kwa habari zaidi Bofya na Endelea......

No comments:

Umati Wamiminika Kumsikiliza Dkt. Samia Songwe πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸŽ‰

Umati mkubwa wa wananchi wa Momba, Tunduma – Mkoa wa Songwe umefurika leo, Septemba 03, 2025, kushiriki kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombe...