Monday, March 24, 2014

Ona Jinsi Mwenyekiti wa Chadema na Mjumbe wa Bunge Maalum Mhe Freeman Mbowe na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe Tundu Lissu Wakishangilia Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete Wakati Alipolihutubia Bunge Maalum la Katiba Jana Mjini Dodoma

    Mjumbe wa Bunge Maalum Mhe Freeman Mbowe akishangilia hotuba ya Rais Kikwete
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe Tundu Lissu akigonga meza kuashiria kukunwa na hotuba ya Rais Kikwete.Picha na IKULU

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...