Monday, March 03, 2014

LUPITA NYONG'O ASHINDA TUZO YA OSCAR MAREKANI USIKU WA KUAMKIA LEO

Lupita Nyong'o akiwa na tuzo yake.
Mwigizaji mahiri wa Kenya, Lupita Nyong'o amenyakua tuzo ya Oscar kupitia filamu ya ‘12 Years a Slave’ huko Los Angeles nchini Marekani.

No comments:

ABSA WAJIONEA MAAJABU YA MIRADI YA NHC DAR ES SALAAM

Mkurugenzi Mtendaji wa ABSA Tanzania, Bw. Obedi Laiser akikaribishwa na  Bw. Deogratious Batakanwa ,  Meneja wa Mauzo na Masoko wa NHC kweny...