Monday, March 31, 2014

Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mathayo Mang'unda Torongey akiendelea na mikutano ya Kampeni Jimboni Chalinze.

DSC_0216
Ally Bananga, mgombea wa Chadema Mathayo torongey na viogozi wengine wakiwa katika kampeni Jimbo la Chalinze.
IMG_20140327_173115
Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ndugu Mathayo Mang'unda Torongey akiendelea na mikutano ya Kampeni Jimboni Chalinze, Ijumaa Machi 28, 2014,
SOMA ZAIDI

No comments:

Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika Umwagiliaji kukabili Mabadiliko ya Tabianchi

Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan, amesema katika kufikia azma ya mapinduzi sekta ya kilimo Serikali imechukua hatua ya kufanya uwekezaji mkubwa...