Monday, March 31, 2014

Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mathayo Mang'unda Torongey akiendelea na mikutano ya Kampeni Jimboni Chalinze.

DSC_0216
Ally Bananga, mgombea wa Chadema Mathayo torongey na viogozi wengine wakiwa katika kampeni Jimbo la Chalinze.
IMG_20140327_173115
Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ndugu Mathayo Mang'unda Torongey akiendelea na mikutano ya Kampeni Jimboni Chalinze, Ijumaa Machi 28, 2014,
SOMA ZAIDI

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...