Thursday, July 03, 2008

Rais Jakaya


Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro muda mfupi baada ya kurejea kutoka Misri ambapo aliendesha mkutano wa 11 wa Umoja huo katika mji wa Sharm El Sheikh jana jioni. (picha na Freddy Maro)

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...