Thursday, July 03, 2008

Rais Jakaya


Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro muda mfupi baada ya kurejea kutoka Misri ambapo aliendesha mkutano wa 11 wa Umoja huo katika mji wa Sharm El Sheikh jana jioni. (picha na Freddy Maro)

No comments:

PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa

  Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...