Sunday, July 13, 2008

Miss Redds 2008





Warembo 28 wa Miss Tanzania Vodacom wakiwa katika picha ya pamoja uwanja wa ndege Mwanza baada ya kuingia Jijini Mwanza jana na ndege ya shirika la Ndege la Tanzania (ATCL).
Leo, warembo hao watashiriki tamasha la michezo katika ukumbi wa Benki ya Tanzania (BoT) baadaye watatembelea watoto yatima na kisha Jumanne watakwenda Mara ambako watazuru kaburi la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
Jana, walipowasili hapa walipokewa na mamia ya wakazi wa Mwanza wakiongozwa na Dk Msekela.


No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...