Sunday, July 13, 2008

Miss Redds 2008





Warembo 28 wa Miss Tanzania Vodacom wakiwa katika picha ya pamoja uwanja wa ndege Mwanza baada ya kuingia Jijini Mwanza jana na ndege ya shirika la Ndege la Tanzania (ATCL).
Leo, warembo hao watashiriki tamasha la michezo katika ukumbi wa Benki ya Tanzania (BoT) baadaye watatembelea watoto yatima na kisha Jumanne watakwenda Mara ambako watazuru kaburi la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
Jana, walipowasili hapa walipokewa na mamia ya wakazi wa Mwanza wakiongozwa na Dk Msekela.


No comments:

MRADI WA TACTIC KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI JIJINI MWANZA

  * Sekta ya uvuvi nayo yaguswa. Mwanza.  Ujenzi wa Barabara ya Buhongwa-Igoma yenye urefu wa Km 14 kwa kiwango cha lami inayojengwa katik...