Sunday, July 20, 2008

Elimu kweli safari yake ndefu


Zuena Yahya, akimvisha shada la maua Salma Taituz, baada ya kuhitimu shule ya awali ya St Mary's Mbagala jijini Dar es Salaam, hafla hiyo ilifanyika shuleni hapo juzi. Picha ya Deus Mhagale.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...