Sunday, July 20, 2008

Elimu kweli safari yake ndefu


Zuena Yahya, akimvisha shada la maua Salma Taituz, baada ya kuhitimu shule ya awali ya St Mary's Mbagala jijini Dar es Salaam, hafla hiyo ilifanyika shuleni hapo juzi. Picha ya Deus Mhagale.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...