Wednesday, July 30, 2008

gari lililomuua Wangwe

Chacha enzi za uhai wake baada yakunyoa rasta



Gari lililohitimisha maisha ya Chacha Wangwe Mbunge wa Tarime anayetarajiwa kuzikwa kesho likiwa limeharibika vibaya, aisee maswali sasa yapo kibao, jamaa wanadai kuwa kauawa sababu hakuwa akiendesha yeye, kalikuwa kakiendesha kaijana kanakoitwa Mallya ambako ni kanajeshi kalikohitimu huko Libya. Picha za Faraja Tranquilino wa Dodoma.

No comments:

PROF. SHEMDOE AELEKEZA MAGARI 14 YA USIMAMIZI WA MIRADI YA TACTIC KUFANYA KAZI ILIYOKUSUDIWA

  Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Mameneja na warat...