Wednesday, July 30, 2008

gari lililomuua Wangwe

Chacha enzi za uhai wake baada yakunyoa rasta



Gari lililohitimisha maisha ya Chacha Wangwe Mbunge wa Tarime anayetarajiwa kuzikwa kesho likiwa limeharibika vibaya, aisee maswali sasa yapo kibao, jamaa wanadai kuwa kauawa sababu hakuwa akiendesha yeye, kalikuwa kakiendesha kaijana kanakoitwa Mallya ambako ni kanajeshi kalikohitimu huko Libya. Picha za Faraja Tranquilino wa Dodoma.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...