Friday, July 25, 2008

usafiri bongo


Kwa hakika usafiri wa mijini una mambo yake hebu mcheki huyu mshikaji na hilo zigo japo ni zigo la sponji lakini bado kuna matata mengi dhidi yake kwanza haoni nyuma, zigo limemzidi kimo na linayumbayumba, lakini ndiyo hivyo mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe.

1 comment:

Anonymous said...

aaaah kweli maisha ya bongo yanasikitisha sana ila ipo siku tutafika tu tuwe na moyo na kuzidi kuomba rehema za mwenyezi Mungu. ameen

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...