Friday, July 25, 2008

usafiri bongo


Kwa hakika usafiri wa mijini una mambo yake hebu mcheki huyu mshikaji na hilo zigo japo ni zigo la sponji lakini bado kuna matata mengi dhidi yake kwanza haoni nyuma, zigo limemzidi kimo na linayumbayumba, lakini ndiyo hivyo mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe.

1 comment:

Anonymous said...

aaaah kweli maisha ya bongo yanasikitisha sana ila ipo siku tutafika tu tuwe na moyo na kuzidi kuomba rehema za mwenyezi Mungu. ameen

MRADI WA TACTIC KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI JIJINI MWANZA

  * Sekta ya uvuvi nayo yaguswa. Mwanza.  Ujenzi wa Barabara ya Buhongwa-Igoma yenye urefu wa Km 14 kwa kiwango cha lami inayojengwa katik...