Sunday, July 27, 2008

Sports day kwa mamiss



Baadhi washiriki wa shindano la Vodacom  miss Tanzania 2008   
wakicheza soka ya ufukweni wa South Beach Hotel, iliyoko Mjimwema Kigamboni Dar es Salaam, kuadhimisha siku yao ya michezo .

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...