Sunday, July 27, 2008

Sports day kwa mamiss



Baadhi washiriki wa shindano la Vodacom  miss Tanzania 2008   
wakicheza soka ya ufukweni wa South Beach Hotel, iliyoko Mjimwema Kigamboni Dar es Salaam, kuadhimisha siku yao ya michezo .

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...