Sunday, July 27, 2008

Sports day kwa mamiss



Baadhi washiriki wa shindano la Vodacom  miss Tanzania 2008   
wakicheza soka ya ufukweni wa South Beach Hotel, iliyoko Mjimwema Kigamboni Dar es Salaam, kuadhimisha siku yao ya michezo .

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...