Friday, July 04, 2008

Dar bingwawa Netiball


Wachezaji wa timu ya mpira wa Netbal mkoa wa Dar es Salaam wakishangilia kikombe walicho kitwaa baada ya kutawazwa mabingwa wa taifa wa mpira wa Netbal jana. Dar es Salaam waliwafunga Pwani jumla ya magoli 33-18 katika mchezo wa fainali uliochezwa katika viwanja vya Sigara jijini Dar es Salaam.Picha ya Mrocky Mrocky.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...