Friday, July 04, 2008

Dar bingwawa Netiball


Wachezaji wa timu ya mpira wa Netbal mkoa wa Dar es Salaam wakishangilia kikombe walicho kitwaa baada ya kutawazwa mabingwa wa taifa wa mpira wa Netbal jana. Dar es Salaam waliwafunga Pwani jumla ya magoli 33-18 katika mchezo wa fainali uliochezwa katika viwanja vya Sigara jijini Dar es Salaam.Picha ya Mrocky Mrocky.

No comments:

RAIS SAMIA AMTEMBELEA PACOME, AMPATIA POLE NA KUMTAKIA AFYA NJEMA

  Dar es Salaam – Mchezaji wa klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua , amepata faraja ya kipekee baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungan...