Friday, July 04, 2008

Dar bingwawa Netiball


Wachezaji wa timu ya mpira wa Netbal mkoa wa Dar es Salaam wakishangilia kikombe walicho kitwaa baada ya kutawazwa mabingwa wa taifa wa mpira wa Netbal jana. Dar es Salaam waliwafunga Pwani jumla ya magoli 33-18 katika mchezo wa fainali uliochezwa katika viwanja vya Sigara jijini Dar es Salaam.Picha ya Mrocky Mrocky.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...